Sunday, March 20, 2011

VITA ZIDI YA UTAWALA WA KANALI MUAMMAR GADDAFI VYAPAMBA MOTO

Majeshi ya ufaransa na uingereza leo yameshambulia kwa makombora maeneo muhimu ya libya maeneo hayo ni pamoja na maghala ya kuhifadhia siraha na viwanja vya kurukia ndege vya libya lengo la mashambulio hayo ni kudhibiti majeshi ya kanali muammar gaddafi  kuendelea kushambulia waasi wanaoshikilia mji wa benghazi.

No comments:

Post a Comment